Oct 26
Mgombea wa CHADEMA Esther Matiko ametangazwa mshindi wa kiti cha ubunge Tarime Mjini kwa kupata kura 20,017 na kumshinda mpinzani wake Kembaki Michael Mwita wa CCM aliyepata kura 14,025.
ESTHER MATIKO ASHINDA UBUNGE......
Hassani Kaunje ashinda kiti cha Ubunge Lindi Mjini......
Vedastus Mathayo atangazwa kuwa Mbunge Musoma Mjini.......
Trump asaini kujengwa ukuta kati ya nchi yake na Mexico......